SZone


Pages

Monday, October 22, 2012

Jinsi ya Kudumu na Mpenzi wako





Jamaa na Kimada wake watembezwa mitaani baada ya kufumaniwa, hii ni kwa sababu ya kutolidhishwa na wapenzi wao.

Epukana na AIBU kama hii, mlidhishe mwenzio

Je, Wataka Kudumu na Mpenzi Wako?

Jaribu kufuata mambo NANE [8] yafuatayo:-


  1. Kila unaporudi nyumbani kutoka safari, kazini ama katika shughuli zako, jitahidi kumchukulia zawadi hata kama ni pipi!
  2. Pendelea sana kumtania kimahaba mpenzi wako.




  3. Epuka kununa nuna hovyo ukiwa na mpenzi wako... ugomvi hachana nao







4. Jijengee tabia ya kumsifu mpenzi wako wakati wowote
5. Pendelea kutambua matatizo yake [si lazima uwe na HELA, PESA ama FEDHA]
6. Usipendelee kumkumbusha ya zamani haswa yanayomchukiza
7. Fikiria mema yake kabla ya kuhesabu mabaya yake
8. Mliwaze anapokasirika, msaidie kwa kila jambo lililondani ya uwezo wako

Utafiti uliofanywa waonyesha kuwa mjali mpenzi wako kwa kila jambo kwani mpenzi ni mpenzi na mapenzi hayana umri, uzoefu, pesa, hela, fedha, kabila au dini.
 Hawa ni baadhi ya wapenzi walio ahidiana kupenda mpaka mmoja wao kufa........ Wewe je?

Tabia ya kufuatana fuatana mpaka sehemu za kazi, vijiweni ama na kwingineko na kukwidana nguo haifai